• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC kutembelea mradi wa maji Mgango- Kiabakari

Posted on: December 28th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee kesho tarehe 29 Desemba, 2022 anatarajia kufanya ziara ya kukagua upanuzi na ukarabati wa mradi wa maji wa Mugango- Kiabakari unaotekelezwa kwa thamani ya shilingi bilioni 70.5 unaosimamiwa na Mamlaka ya Maji ya Mugango- Kiabakari.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara imeeleza kuwa Mheshimiwa Mzee atawasili katika ofisi za mradi huo eneo la Mugango na kupokea taarifa ya mradi huo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji ya Mgango- Kiabakari.

Aidha, taarifa hiyo imeeleza kuwa baada ya hapo, Mheshimiwa Mzee atakagua chanzo cha maji cha mradi huo, ujenzi wa matenki mbalimbali ya kuhifadhi maji na ujenzi wa ofisi mpya za Mamlaka ya Maji Mugango- Kiabakari.

Upanuzi na ukarabati wa mradi wa maji wa Mugango- Kiabakari ulianza kutekelezwa mwaka 2020 na kuwekewa jiwe la msingi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 6 Februari, 2022 na ulitarajiwa kukamilika Desemba, 2022.

Awali, mradi huu ulijengwa na Serikali ya Awamu ya Kwanza miaka ya 1970 lakini kutokana na ongezeko la mahitaji ya maji na uchakavu wa miundombinu mradi huu unakarabatiwa na kupanuliwa ili kuweza kuhudumia wananchi 165,000 kutoka vijiji 39 vya Wilaya ya Musoma na Butiama.

Matangazo ya Kawaida

  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 MKOA WA MARA December 18, 2020
  • NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA MASOMO YA SAYANSI, HISABATI, FUNDI SANIFU MAABARA NA LUGHA June 21, 2018
  • Mara yapaa Kimichezo July 20, 2019
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP April 23, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Mpango wa M-Mama watambulishwa Mara

    February 16, 2023
  • RC aitaka RUWASA kutoa taarifa ya vyanzo vya maji

    February 10, 2023
  • Nyanungu watakiwa kuitumia fursa vizuri

    February 10, 2023
  • RC avitaka vyama vya watu wenye ulemavu kuanzisha miradi

    February 10, 2023
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: P.o.Box 299 Musoma

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa