• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC ataka ufanisi katika usimamizi wa madarasa mapya

Posted on: October 16th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee leo tarehe 12 Oktoba, 2022 amefanya kikao na Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri pamoja na baadhi ya Wakuu wa Idara za Halmashauri kwa lengo la kutoa maelekezo kuhusiana na masuala mbalimbali.

Akizungumza katika kikao hicho, Mheshimiwa Mzee amewataka viongozi wa Wilaya kuzisimamia Halmashauri zao ili pesa za ujenzi wa vyumba vya madarasa zilizopokelewa ziweze kujenga vyumba hivyo kwa ubora na kwa wakati.

“Mimi ninatoa siku 60 tu vyumba vya madarasa viwe vimekamilika na nitakapokuja kukagua nitagombana na viongozi kama mambo hayajaenda vizuri sio watendaji wa chini” alisema Mheshimiwa Mzee.

Mheshimiwa Mzee amewataka viongozi wa Wilaya na Halmashauri kutimiza wajibu wao kwa Taifa na wananchi wa Mkoa wa Mara ili kuleta matokeo yanayohitajika na sio kusubiri kusukumana.

Akitoa taarifa katika mkutano huo, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi, Elimu Bwana Ahidi Jailosi Sinene ameeleza kuwa Mkoa wa Mara umepokea jumla ya shilingi bilioni 10.920 katika akaunti za shule 144 za Sekondari kwa ajili ya kujenga vyumba vya madarasa 546.

Bwana Sinene ameeleza kuwa ujenzi wa vyumba vya madarasa hayo ni sehemu ya matayarisho ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza Januari, 2023.

Katika mgao wa vyumba hivyo, Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti imepata vyumba 58 (1,160,000,000), Halmashauri ya Mji wa Bunda vyumba 77 (1,540,000,000), Halmashauri ya Wilaya ya Bunda vyumba 102 (2,040,000,000) na Halmashauri ya Wilaya ya Butiama vyumba 77 (1,540,000,000).

Aidha, Halmashauri ya Wilaya ya Tarime vyumba 23 (460,000,000), Halmashauri ya Mji wa Tarime vyumba 41 (820,000,000), Halmashauri ya Wilaya ya Rorya vyumba 66 (1,320,000,000), Manispaa ya Musoma vyumba 67 (1,340,000,000) na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma vyumba 35 (700,000,000).

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa