• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC ashiriki mazishi ya aliyepata ajali ya ndege

Posted on: November 9th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee leo amewaongoza waombolezaji katika mazishi ya Bi. Rose Andrew Nyamwera aliyefariki katika ajali ya ndege ya Precision Air iliyoanguka katika Ziwa Victoria.

Akizungumza katika mazishi hayo yaliyofanyika katika Kijiji cha Rwangwa, Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, Mheshimiwa Mzee amewataka watu wote walioguswa na msiba huo kuendelea kuisaidia familia hiyo na hususan watoto wa marehemu ambao wanaumri mdogo.

“Ninawaomba tuendelee kuisaidia familia hii, hawa watoto bado ni wadogo na wanamahitaji mengi tusipotee, tuendelee kuwasaidia ili na sisi tusife tukiwa bado hai” alisema Mheshimiwa Mzee.

Aidha, Mheshimiwa Mzee ameeleza kuwa amekuja katika msiba wa Bi. Rose Nyamwera kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan na wananchi wote wa Mkoa wa Mara.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mheshimiwa Dkt. Halfany Haule ameeleza kuwa katika ajali hiyo, Mkoa wa Mara umepoteza watu wawili na kwa mapenzi ya Mungu wote wanatokea katika Wilaya ya Musoma na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma.

Dkt. Haule ameeleza kuwa msiba huo ni mkubwa sana kwa wananchi wa Musoma na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) na kumshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kuja kushirikiana nao katika msiba huo.

Katika mazishi hayo, Mkuu wa Mkoa aliambatana na Kamati ya Usalama ya Mkoa, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Musoma Vijijini, Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma na baadhi ya watumishi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Halmashauri ya Wilaya ya Musoma.

Wengine waliohudhuria ni pamoja na Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TARURA, Meneja wa TARURA wa Mkoa wa Kagera na Mkoa wa Mara, watumishi wa TARURA wa Mikoa ya Kagera, Mwanza na Mara.

Marehemu Rose Nyamwera alizaliwa 13 Septemba, 1987 katika Kijiji cha Kasoma, Wilaya ya Musoma na wakati wa uhai wake alikuwa ni mtumishi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Kagera.

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Chakula Shuleni Mkoa wa Mara ni Lazima- Kusaya

    September 02, 2025
  • Mwenge wa Uhuru Wapitisha miradi 68 ya bilioni 26.5 Mara

    August 23, 2025
  • RC Mtambi akutana na viongozi wa dini na kuwasistiza kuhamasisha amani

    August 22, 2025
  • Wananchi Rorya wahimizwa kutumia nishati safi ya kupikia

    August 19, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa