• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

RC apongeza utulivu Tarime TC

Posted on: July 22nd, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi ameipongeza Halmashauri ya Mji wa Tarime kwa utulivu wa madiwani na wataalamu wa Halmashauri hiyo jambo ambalo linachochea utekelezaji wa haraka wa miradi ya maendeleo.

Akizungumza katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani kwa ajili ya kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali leo tarehe 13 Julai, 2022, Mheshimiwa Hapi ameeleza kuwa utulivu wa Halmashauri hii unasababisha iweze kupata maendeleo kwa haraka.

“Ninawapongeza sana kwa utulivu, hiyo ndio siasa safi, endeleeni kuwa wamoja na kuwasimamia wataalamu ili wafanye kazi zao kwa uadilifu” alisema Mheshimiwa Hapi.

Mheshimiwa Hapi ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kuongeza makusanyo ya mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2021/2022 na kufikia asilimia 97 hata baada ya kuongeza lengo la makusanyo hayo katikati ya mwaka huo wa fedha.

Mheshimiwa Hapi pia ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kupata hati safi kwa miaka 07 mfululizo na kuwataka wapunguze hoja za CAG ambazo zinaweza kuzuilika.

Aidha Mheshimiwa Hapi amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara kuongeza watumishi katika vitengo vya Ukaguzi wa Ndani na Manunuzi ili kuimarisha utendaji kazi wa vitengo hivyo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Halmashauri bibi Gimbana Emanuel Ntavyo ameeleza kuwa Halmashauri ya Mji wa Tarime ilikuwa na jumla ya hoja 47 ambapo 20 zimejibiwa na kufungwa na 27 ziko katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

Bibi Ntavyo ameeleza kuw akati ya hoja hizo, hoja za nyuma 21 ambazo kati yake 09 zimefungwa na hoja 12 zipo katika utekelezaji wakati kati ya hoja mpya 26 hoja 11 zimefungwa na hoja 15 zipo katika hatua mbalimbali katika utekelezaji.

 Bibi Ntavyo ameeleza kuwa Halmashauri hiyo ilikuwa na maagizo 08 ya Kamati ya Kudumu ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na kati yake agizo moja limefungwa na maagizo mengine 07 yanaendelea kutekelezwa.

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Kusaya awataka wahanga kutumia misaada kuboresha maisha

    May 19, 2025
  • BASATA yaijengea uwezo Mkoa wa Mara

    May 15, 2025
  • Mara kutumia fursa zilizopo kuboresha sanaa kwa vijana

    May 15, 2025
  • RC aipongeza Musoma ushindi wa ubora wa huduma za afya Kitaifa

    May 15, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa