• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Sehemu ya Mipango na Uratibu
      • Sehemu ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
      • Sehemu ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Sehemu ya Uratibu wa Sekta ya Uchumi na Uzalishaji
      • Sehemu ya Utawala na usimamizi wa rasilimali watu
      • Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Sehemu ya usimamizi, ufuatiliaji na ukaguzi
      • Sehemu ya Miundombinu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Maendeleo ya Jamii
      • Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mtambi ashsiriki mapokezi ya Chapo

Posted on: June 12th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Alfred Mtambi leo amewaongoza wananchi wa Mkoa wa Mara katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chama cha FRELIMO na Mgombea Uraisi wa Nchi ya Msumbiji Mhe. Daniel Francisco Chapo ambaye ametembelea makazi ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, katika eneo la Mwitongo, Butiama.

Akizungumza katika mapokezi hayo, Mhe. Mtambi amemshukuru amesmhukuru Mhe. Chapo kwa kuamua kutembelea nyumbani kwa Baba wa Taifa na kuwashukuru viongozi na wananchi waliojitokeza kushiriki mapokezi hayo.  

Akiwa Butiama Mhe. Chapo amesalimiana na wananchi wa Butiama waliojitokeza kumlaki, amezungumza na wanafamilia ya Mwalimu Nyerere wakiongozwa na mtoto wa Mwalimu Nyerere Madaraka Nyerere, viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM) waliokuja kumlaki.  

Mhe. Chapo ametembelea kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kuweka shada la maua kabla ya kuwasalimia mamia ya wananchi wa Butiama waliojitokeza kumpokea katika Uwanja wa Mwenge Butiama.  

Viongozi walioshiriki mapokezi hayo ni pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Mhe. John Mongela, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara Bwana Patrick Chandi na viongozi wengine wa CCM Taifa, Mkoa na Wilaya.  

Viongozi wengine waliokuwepo katika mapokezi hayo ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mbunge wa Butiama Mhe. Jumanne Sagini na Mkuu wa Wilaya ya Butiama Mhe. Moses Kaegele, wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Mkoa na Wilaya ya Butiama.

Katika mapokezi hayo,Bwana Madaraka Nyerere amempatia Mhe. Chapo fimbo inayofanana na fimbo ambayo Baba wa Taifa alikuwa anatembea nayo wakati wa uhai wake ambayo alisema kwa Kizanaki fimbo hiyo ilikuwa ni ishara ya uongozi thabiti.   

Matangazo ya Kawaida

  • MBIO ZA MWENGE WA UHURU, 2025 August 11, 2025
  • HAFLA YA UTIAJI SAINI MKATABA YA TACTICS August 11, 2025
  • KONGAMANO LA VIJANA August 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2017 January 31, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Wananchi Rorya wahimizwa kutumia nishati safi ya kupikia

    August 19, 2025
  • Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa awasha Mwenge wa Mwitongo kwa mara ya 61

    August 18, 2025
  • Mwenge wakagua miradi ya bilioni 6 Musoma

    August 18, 2025
  • Maambukizi ya UKIMWI katika Wilaya ya Bunda yamepungua

    August 16, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa