• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mara mshindi wa pili UMITASHUMTA 2025

Posted on: June 18th, 2025

Mkoa wa Mara umekuwa mshindi wa pili katika mashindano ya 29 ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) Taifa kwa mwaka 2025 yaliyokuwa yanafanyika katika Manispaa ya Iringa na kuhitimishwa leo.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeonyesha kuwa Mkoa wa Mara umepata jumla ya alama 173 na kushika nafasi ya pili katika mashindnao hayo.

Katika mashindano hayo, Mkoa wa Mara umefanya vizuri katika michezo ya handball (wasichana), soka (wasichana), riadha (wavulana) na (wasichana) na usafi kwa (wavulana) ambapo imepata alama 20 katika kila kipengele.

Kwa matokeo hayo Mkoa wa Mara umepanda kwa nafasi moja katika mashindano yam waka huu baada ya mwaka 2024 kushika nafasi ya tatu katika mashindano ya 28 ya UMITASHUMTA kitaifa.

Taarifa ya Ofisi ya Rais, TAMISEMI imeonyesha kuwa Mkoa wa Mwanza umeongoza kitaifa kwa kupata alama 230 wakati Mkoa wa Tabora ukishika nafasi ya tatu Kitaifa baada ya kupata alama 151.

Mashindano hayo yalifunguliwa Rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 6 Juni, 2025 yameahirishwa rasmi leo tarehe 18 Juni, 2025 kupisha mashindnao ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) yanayoanza rasmi tarehe 19 Juni, 2025 katika Manispaa ya Iringa.

Mashindano hayo yaliihusisha mikoa yote ya Tanzania Bara na Mikoa iliyofanya vibaya ni pamoja na Tanga ambayo imepata alama 80 na kushika nafasi ya 24, Ruvuma alama 75 na kushika nafasi ya 25 na Lindi alama 71.8 na kushika nafasi ya 26.

Sekretarieti ya Mkoa wa Mara inaitakia kila la Kheri timu ya Mkoa wa Mara inayoshiriki michezo ya Umoja wa Shule za Sekondari (UMISETA).

Matangazo ya Kawaida

  • Ziara ya Waziri Mkuu February 24, 2024
  • MIAKA 60 YA MWENGE WA MWITONGO July 31, 2024
  • RC AIPOKEA KAMATI YA MADINI YA BUNGE February 25, 2024
  • SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MKUU MSTAAFU MHE. EDWARD LOWASSA February 11, 2024
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Mara wapatiwa mafunzo

    June 20, 2025
  • Mara mshindi wa pili UMITASHUMTA 2025

    June 18, 2025
  • Zingatieni miongozo ya kilimo cha tumbaku- Dkt. Haule

    June 18, 2025
  • Mtambi aipongeza Bunda TC kwa hati safi miaka mitano mfululizo

    June 13, 2025
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: 13 Barabara ya Boma, P.o.Box 299 Musoma, 31101 Musoma, Mara

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa