• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
MARA REGION

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Uongozi
    • Seksheni
      • Mipango na Uratibu
      • Sekta ya Elimu
      • Huduma ya Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Huduma za Serikali za Mitaa
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Huduma za Kisheria
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Musoma
    • Wilaya ya Butiama
    • Wilaya ya Bunda
    • Wilaya ya Rorya
    • Wilaya ya Tarime
    • Wilaya ya Serengeti
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Musoma
    • Bunda DC
    • Bunda Mji
    • Butiama DC
    • Rorya DC
    • Tarime DC
    • Tarime Mji
    • Serengeti DC
    • Musoma DC
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyomba vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Hapi atoa wiki mbili kukamilisha miradi

Posted on: July 15th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mheshimiwa Ally Salum Hapi ameiagiza Sekretariati ya Mkoa wa Mara kukamilisha miradi mine ya ujenzi na ukarabati wa nyumba za viongozi wa huu inayotekelezwa katika Manispaa ya Musoma.

Mheshimiwa Hapi ametoa maagizo hayo leo tarehe 14 Julai 2021 katika ziara yake aliyoifanya kukagua miradi mine inayotelekelezwa kwa mfumo wa force account na kusimamiwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara katika Manispaa ya Musoma.

“Ninatoa wiki mbili miradi hii minne yote iwe imekamilika…..ninataka ofisi yangu iwe ni ofisi ya mfano katika utekelezaji wa miradi ya serikali katika Mkoa wa Mara” alisema Mheshimiwa Hapi.

Akizungumza baada ya kukagua miradi hiyo, Mheshimiwa Hapi ameeleza kuwa hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi, usimamizi na ugawaji wa kazi kwa mafundi wa miradi hiyo ambao wanaajiri mafundi wengine katika utekelezaji na hivyo kuchelewesha utekelezaji wa miradi hiyo.

Aidha Mkuu wa Mkoa ameagiza kupatiwa taarifa ya kina kuhusu matumizi ya fedha na hususan fedha zilizotumika katika manunuzi ya vifaa na kulipa mafundi katika miradi hiyo.  

Awali akitoa taarifa ya miradi hiyo Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Miundombinu Mhandisi Faustin Tarai ameeleza kuwa miradi hiyo ilianza kutekelezwa kuanzia tarehe 15 Machi 2021 na inatarajiwa kukamilika tarehe 19 Julai 2021.

Aidha Bwana Tarai ameeleza kuwa kuwa vifaa vyote kwa ajili ya miradi hiyo vilishanunuliwa na malipo ya mafundi yanaendelea kutolewa kulingana na madai wanayoyatoa baada ya kukamilisha sehemu ya kazi.

Katika kukagua miradi hiyo Mkuu wa Mkoa aliambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bwana Albert Gabriel Msovela; Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mheshimiwa Alfany Haule, Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka Sekretariati ya Mkoa, wataalamu wa ofisi ya Katibu Tawala Wilaya ya Musoma pamoja na waandishi wa habari.

Miradi inayotekelezwa na Sekretariati ya Mkoa wa Mara katika Manispaa ya Musoma ni pamoja na  ujenzi wa nyumba ya Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya Afya; ujenzi wa nyumba ya Katibu Tawala wa Wilaya ya Musoma; ukarabati wa nyumba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara;  na ukarabati wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya ya Musoma ambayo imefikia katika hatua tofauti za ukamilishaji wake.

Matangazo ya Kawaida

  • WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 MKOA WA MARA December 18, 2020
  • NAFASI ZA KAZI KWA WALIMU WA MASOMO YA SAYANSI, HISABATI, FUNDI SANIFU MAABARA NA LUGHA June 21, 2018
  • Mara yapaa Kimichezo July 20, 2019
  • JINSI YA KUPATA SALARY SLIP April 23, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Uthamini wa eneo la Nyatwali umefikia zaidi ya asilimia 50

    January 26, 2023
  • Biashara United yakabidhiwa kwa Mwekezaji

    January 13, 2023
  • Mara yapokea miradi ya zaidi ya milioni 200

    January 13, 2023
  • RC aagiza kukamatwa kwa wazazi ambao hawajapeleka watoto shule

    January 13, 2023
  • Tazama Zote

Video

UMUHIMU WA KULIPA KODI
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Huduma za Maji
  • Mpango wa Manunuzi wa mwaka wa fedha 2017/2018
  • FOMU ZA KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • TAARIFA KWA MAKAMU WA RAIS
  • TAARIFA YA HOSPITALI YA WILAYA YA SERINGETI
  • Muongozo wa Matumizi bora ya vifaa vya TEHAMA
  • Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Mazingira duniani Mkoani Mara.
  • Zoezi la Unyunyiziaji Kiuatilifu cha Ukoko Majumbani
  • Taarifa kwa Umma-Ziara ya Makamu wa Rais Mkoa wa Mara

Tovuti Mashuhuri

  • IKULU
  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifu
  • Ofisi ya Rais-UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Katibu Tawala Mkoa wa Mara

    Anwani ya Posta: P.o.Box 299 Musoma

    Simu: +255282622305

    Simu:

    Barua pepe: ras.mara@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Hatimiliki©2017 Mkoa wa Mara.Haki Zote Zimehifadhiwa